Friday, January 31, 2014

MAFUMBO A7

Marwa alikuwa na shilingi 500. Alimgawia Musa shilingi 300. Je alibaki na kiasi gani?

Suluhu

sh 500 – sh 300 = sh 200.


Hivyo alibakiwa na sh 200.

ZAMU YAKO

Marwa alikuwa na shilingi 1100. Alimgawia Musa shilingi 500. Je alibaki na kiasi gani?

No comments:

Post a Comment