Tuesday, May 27, 2014

ALJEBRA A26



Rahisisha 40(2k)

Suluhu

 =40(2k)

=40 x 2 x k

=(40 x 2) x k

=(40) x k

=40k

Hivyo  40(2k)=120k


ZAMU YAKO……………………….

Rahisisha 35(2k)

WASTANI A13



Tafuta wastani wa 29 na 17.
           
Suluhu

17 + 29 = 46

Jumla ya namba = 46
Idadi ya namba = 2

Wastani = Jumla ya namba ÷ Idadi ya namba
                = 46 ÷ 2  
                = 23

Hivyo wastani ni  23

ZAMU YAKO……………….

Tafuta wastani wa 23 na 47.

KDS A14



Tafuta KDS cha 30 na 68   

Suluhu      


2
30
68
2
15
34
3
15
17
5
5
17
17
1
17

1
1


KDS = 2 X 2 x 3 x 5 x 17
       = 1020

Hivyo KDS ni 1020

ZAMU YAKO……………….

Tafuta KDS cha 40 na 64

ALJEBRA A24



Tafuta y Ikiwa 11y – 8 = 9y + 10.

Suluhu

11y – 8 = 9y + 10

11y - 9y = 8 + 10  (baada ya kukusanya mitajo inayo fanana)

9y = 18

9y = 18
9       9

y = 2


ZAMU YAKO……………….

Tafuta y Ikiwa 10y – 20 = 3y + 8.

SIMU YA MAANDISHI A2



Kampuni ya simu hutoza shilingi 600 kwa maneno kumi ya mwanzo, na sh 80 kwa kila neno linaloongezeka. Tafuta gharama ya kutuma maneno 16.

Suluhu

Maneno 16 – maneno 10 ya mwanzo = maneno 6 yanayoongezeka.
Maneno 6 x sh 80 = sh.480
Jumla ya gharama = maneno 10 ya mwanzo + maneno yanayoongezeka
                             =  600  +  480
                             =  1080

Hivyo gharama ya kutuma maneno 16 ni sh 1080.


ZAMU YAKO……………….

Kampuni ya simu hutoza shilingi 430 kwa maneno kumi ya mwanzo, na sh 70 kwa kila neno linaloongezeka. Tafuta gharama ya kutuma maneno 17.