Friday, February 12, 2016

UMRI - 1


Umri wa Kaisari ni mara nne ya ule wa Maneno. Ikiwa jumla ya umri wao ni miaka 65, Tafuta umri wa wote.

Suluhu

Kaisari = t

Maneno = 4t

Kaisari
Maneno
Jumla
t
4t
65

t+4t = 65

5t = 65

5t = 65
5       5

t = 13

Umri wa Kaisari = t

                          = 13


Umri wa Maneno = 4t

                            = 4 x 13

                            = 52


Hivyo umri wa Kaisari ni miaka 13 na ule wa  Maneno ni miaka 52


ZAMU YAKO………………


Umri wa Kikwete ni mara tano ya ule wa Riziwani. Ikiwa jumla ya umri wao ni miaka 80, Tafuta umri wa wote.

No comments:

Post a Comment