Tuesday, May 27, 2014

ALJEBRA A26



Rahisisha 40(2k)

Suluhu

 =40(2k)

=40 x 2 x k

=(40 x 2) x k

=(40) x k

=40k

Hivyo  40(2k)=120k


ZAMU YAKO……………………….

Rahisisha 35(2k)

2 comments:

  1. Mwalimu nashukuru kwa kujitahidi kutuelimisha, unajua shida kubwa ni kwamba tumedhani na kuendelea hivyo tukiamini hesabu kama somo ni ngumu sana, lakini nafikiri dhana hii imejengeka katikati ya kwa vizazi vingi, nami pia ni miongoni mwao, ingawa naamini nikipata mwalimu mzuri naweza kabisa kumudu hesabu kwa kiwango cha juu, nashukuru sana.

    ReplyDelete
  2. Mwalimu nashukuru kwa kujitahidi kutuelimisha, unajua shida kubwa ni kwamba tumedhani na kuendelea hivyo tukiamini hesabu kama somo ni ngumu sana, lakini nafikiri dhana hii imejengeka katikati ya kwa vizazi vingi, nami pia ni miongoni mwao, ingawa naamini nikipata mwalimu mzuri naweza kabisa kumudu hesabu kwa kiwango cha juu, nashukuru sana.

    ReplyDelete