Monday, November 15, 2021

MZINGO WA PEMBETATU


Mzingo wa pembetatu ni sm 50. Ikiwa pande zake ni sm 21 na sm 13, tafuta upande uliobaki

Suluhu

Chukulia kwamba upande uliobaki ni x

Mzingo = jumla ya pande zote

50 = 21  +  13 + x

50 = 34 + x

50 – 34 = x

16 = x

Hivyo upande uliobaki ni sm 16.


ZAMU YAKO ……………….. 

Mzingo wa pembetatu ni sm 60. Ikiwa pande zake ni sm 21 na sm 22, tafuta upande uliobaki


---------------------------------------------------------------------------------------------------------

Tembelea You Tube chaneli yetu upate maarifa zaidi.

--------------------------------------------------------------------------------------------------------




No comments:

Post a Comment