Wednesday, February 19, 2014

MAGAZIJUTO A2


Kokotoa 2 x 6 + (17 - 3) ÷ 2.

Suluhu


Tunatumia MAGAZIJUTO.


= 2 x 6 + (17 - 5) ÷ 2


= 2 x 6 + 12 ÷ 2 [baada ya kutoa ndani ya mabano]


= 2 x 6 + 6   [baada ya kugawanya]


= 12 + 6  [baada ya kuzidisha]


= 18   [baada ya kujumlisha]



ZAMU YAKO…..



Kokotoa 4 x 9 + (68 + 2) ÷ 5

No comments:

Post a Comment