Mayanja ana
machungwa 900. Alikula machungwa 125. Je alibakiwa na machungwa mangapi?
Suluhu
Hapa tunatakiwa
kutoa:
JUMLA 
 | 
 |
Mayanja 
 | 
  
   900 
-  125 
 | 
 
Alikula 
 | 
 |
BAKI 
 | 
  
   775 
 | 
 
Hivyo
alibakiwa na machungwa 775
ZAMU
YAKO………………
Nyamwaga
alinunua penseli 760. Aliwagawia watotowake penseli 136. Je, alibakiwa na
penseli ngapi?
No comments:
Post a Comment