Mwalimu
aligawa kalamu 600 kwa wanafunzi wake kama ifuatavyo: Rama alipata mara tatu ya
Juma, wakati Ana alipata mara mbili ya Rama. Je Ana alipata kiasi gani?
Suluhu
Tunachora
jedwali dogo ili uelewe namna ya kufanya swali hili.
Rama 
 | 
  
Juma 
 | 
  
Ana 
 | 
  
Jumla ya kalamu 
 | 
 
3(x) =
  3x 
 | 
  
x 
 | 
  
2(3x) =
  6x 
 | 
  
600 
 | 
 
3x + x + 6x
= 600
10x = 600
10x = 600
10      10
x = 60.
Kalama
alizopata Ana;
= 6x
=6(60)
=360
Hivyo Ana alipata kalamu 360.
ZAMU YAKO………………….
Mateo
aligawa matofali 3200 kwa watoto wake kama ifuatavyo: Bob alipata mara tano ya Dani,
wakati Kim alipata mara mbili ya Bob. Je Kim alipata kiasi gani?
Good this is nice to my sis khadija
ReplyDeleteKim 2000
ReplyDelete